Saturday, May 4, 2013

NASSARI ASEMA YEYE NA LEMA WANAWINDWA WAJERUHIWE

Nikiwa kwenye mazungumzo na mwanausalama mmoja wa Hapa Arusha, amenijulisha kuwa Wanausalama wa Arusha wameazimia kutujeruhi mimi na Mhe. Lema kwa sababu ya harakati zetu mkoani Arusha lengo likiwa ni kurudisha nyuma morali na kuwaingizia hofu wananchi. Nanukuu kilichosemwa, "sasa tutawavunjavunja kabisa miguu hawa wawili, ngoja tu" mwisho.

SOURCE:  Josh Nassari, facebook account.

No comments:

Post a Comment