Nikiwa
kwenye mazungumzo na mwanausalama mmoja wa Hapa Arusha, amenijulisha
kuwa Wanausalama wa Arusha wameazimia kutujeruhi mimi na Mhe. Lema kwa
sababu ya harakati zetu mkoani Arusha lengo likiwa ni kurudisha nyuma
morali na kuwaingizia hofu wananchi. Nanukuu kilichosemwa, "sasa
tutawavunjavunja kabisa miguu hawa wawili, ngoja tu" mwisho.
No comments:
Post a Comment