Tumekuwa
na uungwana wa kitambua juhudi mbali mbali za serikali katika kuleta
maendeleo nchini. Mara kadhaa Mimi binafsi, Kiongozi wa Upinzani Bungeni
na Wabunge wa CHADEMA tumekuwa tukitambua juhudi hizo. Hata hivyo
"appreciation" yetu ya nia njema Kabisa imekuwa ikichukuliwa kisiasa na
Mawaziri wa CCM na hivyo kutubeza. Leo Waziri Magufuli kaja na flash
disk yenye kauli ya ndugu Mbowe huko Hai. Pia kabeza wabunge wengi wa
upinzani. Nikiwa Kiongozi wa Upinzani Bungeni, nimeagiza kwamba kuanzia
Leo Ni marufuku Kwa mbunge wa CHADEMA ku appreciate kazi ya Serikali.
Uungwana wetu usitumike kutuponza. Tufanye kazi yetu ya kuisimamia
Serikali
|
No comments:
Post a Comment