Tuesday, May 14, 2013

VITIMOTO WATINGA BUNGENI NAIROBI KENYA!

Waandamanaji waamepeleka Kitimoto Bungeni Nairobi Kenya, wamefanya hivyo kwa madai kuwa Wabunge wanajiongezea mishahara ni Walafi kama Kitimoto Wakati Wafanyakazi wa Kawaida hawaongezewi mishahara na maisha ni magumu kwa wote.

No comments:

Post a Comment